Mtumishi wa MUNGU, Mwl; Samwel Mkumbo anakukaribisha kushirikiana nae katika kumtumikia MUNGU kwa maombi yako.
Maombi yako ni muhimu mtu wa Mungu katika kuujenga ufalme wa Mungu na katika Huduma hii ili kuinua kanisa la Tanzania na Ulimwengu kwa Ujumla.
Pia waweza kutuma maombi yako unayohitaji kuombewa na Ushuhuda pia kwa mkumbosj@gmail.com au tuma kwa ukurasa wa facebook Mwl Samwel Mkumbo
Pia waweza kutuma maombi yako unayohitaji kuombewa na Ushuhuda pia kwa mkumbosj@gmail.com au tuma kwa ukurasa wa facebook Mwl Samwel Mkumbo
Wenyeji wa King'ori Arusha wakisikiliza Mafundisho kutoka kwa Mwl; Samwel Mkumbo
Mwl; Samwel Mkumbo akiomba kwa ajili ya wagonjwa na watu wenye shida mbalimbali.
No comments:
Post a Comment